Thursday, July 7, 2016

UPDATE: GoodNEWS: Mwimbaji Baraka Da Prince aingia alipo Alikiba

TUFF5666
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi ninayo stori inayomuhusu msanii wa Bongo Fleva, Baraka Da Prince ambaye July 7, 2016 anazimiliki headlines kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kusaini mkataba wa kufanya kazi na label ya Rockstar4000.

Monday, July 4, 2016

UPDATE: video ya wimbo mpya wa lina Linah – Imani



Msanii Linah Sanga, ametoa Video ya mpya ya wimbo “Imani”. Video imeongozwa na Joowzey.

UPDATE: Kendrick Lamar na Janelle Monáe waalikwa ikulu ya Marekani

janelle-monae-kendrick-lamar
Ikulu ya Marekani imewaalika Kendrick Lamar na Janelle Monáe kwa ajili ya kufanya onesho la kuwakumbuka wanajeshi mashujaa wa nchi hiyo Jumatatu hii.

UPDATE:Lady Jaydee – kila baada ya miezi mitatu nitakuwa natoa wimbo mpya

Buff Bantam Hen {Gallus gallus domesticus} with nine of her ten chicks, 2-days-old. The tenth chick is under her
Msanii mkongwe wa muziki Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amefunguka kwa kusema kuwa hataki tena kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia kazi.

UPDATE: Diamond kuwapa shavu visura wa Bongo kwenye video ya ngoma aliyomshirikisha Raymond


Staa huyo ametangaza kuwa wiki hii ataanza kushoot video ya wimbo aliomshirikisha msanii aliyechini ya label yake ya WCB, Raymond na kuwataka wasichana wote wanaodhani wana urembo wa kuing’arisha video yake wazeme kwenye DM.

UPDATE: Ommy Dimpoz, Wayne Rooney wala bata pamoja Ibiza, Hispania


Kama kuna sehemu inayotembelewa zaidi duniani na watu ambao hawana kabisa stress ya kitu kinachoitwa ‘Pesa’ basi Ibiza, Hispania inaongoza. Ibiza ni kisiwa cha raha, burudani, starehe na bata la kila aina. Ni sehemu ambayo nyota wa Manchester United na England, Wayne Rooney na familia yake wanapumzika kwa sasa baada ya timu yake ya taifa kutolewa kwenye Euro 2016.

Saturday, July 2, 2016

UPDATE:Luda Chris amnunulia mke wake gari aina ya Mercedes AMG G63 yenye thamani ya $160k.


13549449_245977469122891_857658471_n
Hakuna mwanamke asiyependa surprise. Mke wa Ludacris kapewa shtukizo la nguvu kwa kuzawadiwa gari aina ya Mercedes AMG G63 yenye thamani ya $160k.

UPADATE: Young Dee akirekebisha makosa aliyofanya Mtu Chee ruksa kurudi kundini – Stamina

13531968_1101664066571243_1094846367_n
Hivi karibuni Young Dee alithibitisha tetesi za kutumia madawa ya kulevya na kutangaza kuwa ameacha. Wiki hii ameachia ngoma yake mpya ‘Hands Up.’

UPDATE:Tafsiri ya ongezeko la 18% (VAT) ya makato ya miamala ya benki kuanza Ijumaa hii (July 1)



Ijumaa hii itakuwa tofauti kwa wateja wengi wa benki nchini. Ni kwasababu benki karibu zote kuanzia July 1, zitaanza kutumia sheria mpya ya fedha ya mwaka huu iliyopitishwa na bunge la 2016/17

UPDATES: Scott aachana na unga Storch na kurudi kwa Dr. Dre

alikiba1
Kabla ya kuingia kwenye matumizi ya madawa ya kulevya, Storch aliwahi kutengeneza hits za mastaa kibao akiwemo 2Pac, 50 Cent, Beyonce, Lil Wayne, The Game, Dr. Dre na wengine wengi.

Friday, July 1, 2016

UPDATE: heshima ya Diamond aliyompa Alikiba Hii ndiyo heshima ya Diamond aliyompa Alikiba

Bongo
Ni muda mrefu imezungumzwa kuwa Diamond na Alikiba wana bifu mpaka kupelekea kuanzishwa kwa baadhi ya team za mitandaoni za kukejeli mafanikio ya msanii wa team nyingine lakini hiyo ni dalili kuwa ipo siku itabaki historia tu.

UPDATE: Bosi wa kampuni ya Nike ajiuzulu nafasi yake


Habari za ndani zimedai kuwa moja ya sababu zilizomfanya ajiuzulu kwenye nafasi yake hiyo ni umri wake wa miaka 78 huku nafasi hiyo ikitajwa kuchukuliwa na Mkurugenzi mkuu wa wa kampuni ya Apple, Mark Parker.

UPDATE: Ruby ‘awamind’ Yamoto Band kwa kumpotezea kwenye video ya wimbo waliomshirikisha

Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio kuwa siku ambayo Yamoto Band walikuwa wakishoot video hiyo yeye alikuwa na mambo yake mengine hivyo alikuwa busy, lakini aliwaomba kama wanaweza wasubiri kidogo amalize na hizo kazi zake lakini wao waliamua kuifanya hivyo hivyo.

UPDATE: Vanessa akiongelea changamoto za ustaa na mradi wake mkubwa ujao



“Ni kitu ambacho naamini kitabadilisha kidogo uwepo wangu kwenye game, I am very confident nikisema hivyo,” ameongeza.

UPDATE: Jay Moe: Ni lazima nitakuja kufanya video ya Famous

13249930_815259015274264_92309098_n
Amesema katika nyimbo zake zote, Famous aliomshirikisha P-Funk Majani, bado anaendelea kuusikia ni mpya kila anapousikia. Moe ameongeza kuwa watu wengi hata leo wameendelea kumlaumu kuwa aliupoteza bure.

Tuesday, June 28, 2016

UPDATE : USHAHIDI UNAOONYESHA KAMA MIELEKA NI MICHEZO YA KUIGIZA



je wewe ni mpenzi wa mieleka na umekuwa ukibisha kwamba mieleka sio maigizo basi pitia ushahidi huu ili uweze kuelewa trainingwanazopata wwe warriors kabla ya ya kufuzu kucheza mchezo wa mieleka

Sunday, June 26, 2016

UPDATE : VIDEO: Messi kasherehekea Birthday yake leo June 24, mambo matano ya kufahamu

June 24 Lionel Messi anakumbuka siku yake ya kuzaliwa, leo June 24 2016 anatimiza umri wa miaka 29, Lionel Messi ameweka rekodi nyingi katika soka ikiwemo ya kutwaaBallon d’Or mara 5. Mtu wangu wa nguvu naomba nikusogezee mambo matano kuhusuLionel Messi leo katika kumbukumbu yake ya kuzaliwa.

UPDATE : CCTV za bunge zilivyonasa tukio zima la Goodluck kuvuliwa ‘baraghashia’


Ikiwa ni siku tatu zimepita tangu mbunge wa Ulanga Goodluck Mlinga kusimama bungeni na kuomba mwongozo wa spika kuhusu kitendo cha kuvuliwa kofia ‘baraghashia’ na mbunge wa viti maalum CHADEMA Anatropia TheonestNaibu spika Dk. Ackson Tulia kalitolea ufafanuzi baada ya kupitia CCTV camera za bunge .

UPDATE : ISIKILIZE TRACK MPYA YA DOGO JANJA NA RADIO AND WEASEL HAPA


Baada yakuuvunja ukimya kwa hit single ya ‘My Life‘ Dogo Janja kutoka Tip Top Connection amekutana na wakali kutokea pande za Uganda, Weasel na Radio na wakaifanya hii remix ya ‘My life’, unaweza kuisikiliza kwa kubonyeza play hapa chini…..
ource millardayo.com

Thursday, June 23, 2016

UPDATE: NAJ AFUNGUKA KUHUSU TETESI ZA UJAUZITO WA BARAKA DA PRINCE



June 22 2016 mwigizaji na msanii wa bongofleva Naj ali-trend na habari kuwa ana ujauzito wa mwimbaji wa bongofleva Baraka Da Prince sasa baada ya Naj kurudi bongo akitokea London June 21, kapatikana na kuongelea mbele ya AyoTV na millardayo.com

UPDATE: JAMAA AKATA UUME WAKE AKIDAI ALIINGIWA NA MAJINI




















Kijana mmoja mkoani Tanga Jumatano hii ameziondoa sehemu zake zote za siri kwa kuzikata na kitu chenye ncha kali.

Akiongea katika kipindi cha Power Breakfast cha Clouds Fm Alhamisi hii, Daktari wa Idara ya Upasuaji katika Hospitali ya Muheza mkoani Tanga, Dk. Abas Mussa, amesema jana majira ya mchana walimpokea mgonjwa huyo akiwa hana sehemu zake zote za siri.

UPDATE: KASSIM MGANGA KAJA NA SINGLE MPYA KWA JINA MANUARI.



Kassim Mganga ni miongoni mwa wakali wenye majina yao ndani ya bongofleva, akiwa na hits kama ‘awena‘ ‘I love you‘ na nyingine.
Sasa good news ni kwamba star huyo leo June 22, 2016 kaachia rasmi single yake mpya iitwayo Manuari imetayarishwa na producer Sheddy Clever, unaweza ukabonyeza play kuisikiliza hapa.

UPDATE: VANESSA MDEE KATAJWA KUWANIA TUZO ZA NIGERIA ENTERTAINMENT

Msanii wa Bongofleva Vanessa Mdee jina lake limeingia kwenye headlines baada ya kutajwa katika moja kati ya tuzo kubwa Nigeria EntertainmentVanessa ametajwa kuwania tuzo zinazoitwa Nigeria Entertainment Awards.

Wednesday, June 22, 2016

UPDATE: SHAVU ANALOPATA ALIKIBA KWENYE MKATABA MPYA NA SONY MUSIC



Haya mambo manne ni sehemu tu ya mambo ambayo Alikiba atafaidika nayo baada ya kusaini mkataba na kampuni kubwa na maarufu kwenye biashara ya muziki dunianiSONY MUSIC, bonyeza play kwenye hii video hapa chini ili kufahamu zaidi

UPDATE: SHILOLE NA VANESSA WALIPOKUTANA KWENYE STAGE CLUB BILLICANAS



Wiki mbili zilizopita taarifa zilienea kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana bifu, ukweli umejulikana usiku wa May 29 2016, kuwa haikuwa bifu bali ni promo ya show yao ya pamoja waliofanya usiku huo club Bilicanas,

UPDATE: VANESSA MDEE AIBUKA NA KUONGEA KUHUSU BEEF NA SHILOLE


Baada ya kuwepo kwa taarifa zilizokuwa zimeenea wiki mbili zilizopita kuwa Vanessa Mdee na Shilole wana beef, ukweli umejulikana, OnAIRwithMillardAyo imempata Vanessa amezungumzia beef hiyo’…….
’Shilole alikuwa ameongea kwamba ni mrembo kuliko msichana yeyote kwenye bongo fleva,  nasikia mashabiki wakaibeba wakasema hakuna wa kulinganishwa na V, baada ya kuona watu wanatengeneza kama shindano akanieleza alikuwa anatania lakini mimi sikuchulia serious na nilikuwa nimesahau kabisa’

UPDATE: Abdu Kiba alivyoongea Kuhusu kujiunga WCB ya Diamond Platnumz



Baada ya taarifa kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa msanii kutoka Bongoflevani Abdu Kiba yuko  tayari kujiunga na Lebel ya WCB ya  Diamond Platnumz, June 8 2016 AyO TV pamoja na millardayo.com imekutana na Abdu Kiba na katoa majibu haya kutokana na taarifa hii ya kujiunga WCB.

Tuesday, June 7, 2016

KARIBU BONGOUP

Karibu bongoup uwezekupata updates na kujifunza vitu mbalimbali katika mchanganyiko unaopatikana katika blog yetu, Blog ya bongoup itajikita katika kuhakikisha unakuwa updated katika maswala mbalimbali ya kimichezo, kiteknolojia,kisiasa n.k huku lengo letu likiwa ni kuhakikisha unakuwa updated katika masuala yote kiujumla
karibu sana.

.