Thursday, July 7, 2016

UPDATE: GoodNEWS: Mwimbaji Baraka Da Prince aingia alipo Alikiba

TUFF5666
Kama utakuwa ni mpenzi wa kufuatilia stori za entertaiment basi ninayo stori inayomuhusu msanii wa Bongo Fleva, Baraka Da Prince ambaye July 7, 2016 anazimiliki headlines kwenye muziki wa Bongo Fleva baada ya kusaini mkataba wa kufanya kazi na label ya Rockstar4000.

Monday, July 4, 2016

UPDATE: video ya wimbo mpya wa lina Linah – Imani



Msanii Linah Sanga, ametoa Video ya mpya ya wimbo “Imani”. Video imeongozwa na Joowzey.

UPDATE: Kendrick Lamar na Janelle Monáe waalikwa ikulu ya Marekani

janelle-monae-kendrick-lamar
Ikulu ya Marekani imewaalika Kendrick Lamar na Janelle Monáe kwa ajili ya kufanya onesho la kuwakumbuka wanajeshi mashujaa wa nchi hiyo Jumatatu hii.

UPDATE:Lady Jaydee – kila baada ya miezi mitatu nitakuwa natoa wimbo mpya

Buff Bantam Hen {Gallus gallus domesticus} with nine of her ten chicks, 2-days-old. The tenth chick is under her
Msanii mkongwe wa muziki Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ amefunguka kwa kusema kuwa hataki tena kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia kazi.

UPDATE: Diamond kuwapa shavu visura wa Bongo kwenye video ya ngoma aliyomshirikisha Raymond


Staa huyo ametangaza kuwa wiki hii ataanza kushoot video ya wimbo aliomshirikisha msanii aliyechini ya label yake ya WCB, Raymond na kuwataka wasichana wote wanaodhani wana urembo wa kuing’arisha video yake wazeme kwenye DM.

UPDATE: Ommy Dimpoz, Wayne Rooney wala bata pamoja Ibiza, Hispania


Kama kuna sehemu inayotembelewa zaidi duniani na watu ambao hawana kabisa stress ya kitu kinachoitwa ‘Pesa’ basi Ibiza, Hispania inaongoza. Ibiza ni kisiwa cha raha, burudani, starehe na bata la kila aina. Ni sehemu ambayo nyota wa Manchester United na England, Wayne Rooney na familia yake wanapumzika kwa sasa baada ya timu yake ya taifa kutolewa kwenye Euro 2016.

Saturday, July 2, 2016

UPDATE:Luda Chris amnunulia mke wake gari aina ya Mercedes AMG G63 yenye thamani ya $160k.


13549449_245977469122891_857658471_n
Hakuna mwanamke asiyependa surprise. Mke wa Ludacris kapewa shtukizo la nguvu kwa kuzawadiwa gari aina ya Mercedes AMG G63 yenye thamani ya $160k.